
Loading ...
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais-TAMISEMI Mhe. Mohamed Mchengerwa amesema ufaulu kwa mwaka 2024 umeongezeka kwa asilimia 5.36% na wanafunzi 214,141 wasichana 97,517 na wavulana 116,624 wamechaguliwa kujiunga na Kidato cha Tano na Vyuo vya Elimu ya Ufundi ikijumuisha wanafunzi 1,028 wenye mahitaji maalum
Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais - TAMISEMI, Mhe. Mohamed akipokea Tuzo ya heshima ya kutambua mchango wake katika Sekta ya Elimu wilayani Rufiji wakati wa Mkutano wa Walimu na Wadau wa Elimu wa Wilaya ya Rufiji katika ukumbi wa shule ya Sekondari ya Wasichana Bibi Titi Mohamed.
Mhe. Zainab Katimba (Mb), Naibu Waziri Ofisi ya Rais TAMISEMI (katikati) akiwa katika picha ya pamoja na Wabunge wa Bunge la Taifa la Zambia na baadhi ya Viongozi wa Ofisi ya Rais TAMISEMI
Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania akionesha Tuzo Maalum ya Heshima iliyotolewa na Bunge kwa kutambua na kuthamini kazi aliyoifanya ya kuleta maendeleo nchini tarehe 31 Mei, 2025
Kuhusu Taasisi yetu.
Viungo vya Haraka
Tovuti Muhimu
leaders.Minister of State, President's Office Regional Administration and Local Government
leaders.Permanent Secretary President's Office Regional Administration and Local Government
Tangazo la kuitwa kazini ajira za TMCHIP 2025
Published on 3 months ago
Mpango Mkakati wa Usimamizi wa Takwimu wa Ofisi ya Rais TAMISEMI - 2024/25 -2028/29
Published on 3 months ago
Kanuni za Uchaguzi wa Mwenyekiti wa Kitongoji 2024
Published on 3 months ago
Kanuni za Uchaguzi wa mwaka 2024
Published on 3 months ago
Mpango wa uboreshaji wa elimu ya awali na msingi (BOOST) umeweza kutatua changamoto mbalimbali zilizokuwepo kwenye elimu msingi ikiwemo miundombinu mibovu, msongamano wa wanafunzi pamoja na ukosefu wa madarasa ya awali na matundu ya vyoo.
Mafanikio ya Miaka Miwili ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh. Dkt.Samia Suluhu Hassan
Ramani ya Tanzania
Published on 3 months ago
Jarida la GPE LANES II
Published on 3 months ago
PlanRep-Policy-User-Terms
Published on 3 months ago
Uhamisho wa watumishi Januari - Julai,2023
Published on 3 months ago