
Loading ...
Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) Mhe. Mohamed Mchengerwa akihitimisha hoja ya Ofisi ya Rais TAMISEMI na Taasisi zake kwa mwaka wa fedha 2025/26 ya Shilingi Trilioni 11. 783
Naibu Waziri Ofisi ya Rais TAMISEMI Dkt. Festo Dugange akipokea hundi ya Shilingi Milioni 124 za hospitali za Halmashauri na Vituo vya Afya vilivyotoa huduma bora kwa wananchi kwa mwaka 2024/2025
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, TAMISEMI, Mhe. Mohamed Mchengerwa, awataka Wakuu wa Mikoa na Wilaya nchini kuhamasisha ushiriki wa wananchi katika Mbio za Mwenge wa Uhuru za mwaka 2025 zinazolenga kuchochea utekelezaji wa Miradi ya Maendeleo
Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais-TAMISEMI Mhe. Mohamed Mchengerwa ametoa fursa ya mwezi mmoja kwa wanafunzi waliohitimu Kidato cha Nne mwaka 2024 kubadili tahasusi au kozi itakayomwandaa kuwa na utaalamu, utaratibu ulioanza Machi 31 hadi Aprili 30, 2025.
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mhe. Mohamed Mchengerwa akishuhudia Utiaji Saini wa Zabuni 9 za Tsh. Bilioni 221.8 za barabara zenye urefu wa Km 84.4 zitakazojengwa Jijini Dar es Salaam chini ya Mradi wa Uendelezaji wa Jiji la Dar es Salaam Awamu ya Pili (DMDP II).
Kuhusu Taasisi yetu.
Viungo vya Haraka
Tovuti Muhimu
leaders.Minister of State, President's Office Regional Administration and Local Government
leaders.Permanent Secretary President's Office Regional Administration and Local Government
Tangazo la kuitwa kazini ajira za TMCHIP 2025
Published on a month ago
Mpango Mkakati wa Usimamizi wa Takwimu wa Ofisi ya Rais TAMISEMI - 2024/25 -2028/29
Published on 2 months ago
Kanuni za Uchaguzi wa Mwenyekiti wa Kitongoji 2024
Published on 2 months ago
Kanuni za Uchaguzi wa mwaka 2024
Published on 2 months ago
Mpango wa uboreshaji wa elimu ya awali na msingi (BOOST) umeweza kutatua changamoto mbalimbali zilizokuwepo kwenye elimu msingi ikiwemo miundombinu mibovu, msongamano wa wanafunzi pamoja na ukosefu wa madarasa ya awali na matundu ya vyoo.
Mafanikio ya Miaka Miwili ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh. Dkt.Samia Suluhu Hassan
Ramani ya Tanzania
Published on a month ago
Jarida la GPE LANES II
Published on a month ago
PlanRep-Policy-User-Terms
Published on a month ago
Uhamisho wa watumishi Januari - Julai,2023
Published on a month ago